YAO MING
....YAO MING FOUNDATION...
Basketballer toka China anayechezea timu ya NBA ya Houston Rockets,Yao Ming ametangaza kujiuzu kucheza ligi ya NBA
Yao Ming inasemekana ndio mchezaji mrefu kwa sasa mwenye futi 7 na inchi 6 alikua ni mchezaji wa Houston Rockets na alifunguka kujivua gamaba hometown kwao,Shanghai akieleza kuwa majeruhi yamemfanya aamue kustaafu na mwaka 2002 alijiunga na ligi ya NBA,na kwa sasa atafaya kazi pamoja na timu yake ya Shanghai Sharks iliyopo nchini kwao na kuna uwezekano akawa Manager na ana mpango wa kufanay kazi kwenye foundation yake ya Yao Foundation
HASHEEM THABEET MANKA - HUOSTON ROCKETS
....Kustaafu kwa Yao Ming kunakua afueni kwa Mchezaji toka Tanzania,Hasheem Thabeet Manka anayechezea timu hiyo hiyo ya Houston Rockets ku-shine coz inasemekana Hasheem alionekana ni chaguo sahihi kumrithi Yao Ming baada ya kuandamwa na majeruhi ya mara kwa mara kabla hajastaafu...!
....YAO MING FOUNDATION...