Friday, June 3, 2011

BEN POUL AJIUNGA RASIMI NA THT.


Msanii aliekuwa chini ya producer Duke ndani ya M Lab Ben Paul, ameamua kujiunga na THT baada ya kumaliza mkataba wake na Duke, hata hivyo Ben Paul amesema pamoja na kufanya vizuri na ngoma yake ya Nikikupata na album yake kuingia sokoni, faida alioipata ni shilingi milioni moja tu.Album ya Ben paul inayoitwa MABOMA ipo sokoni tayari jipatie copy yako

No comments:

Post a Comment