Sunday, June 16, 2013

Wacheza sinema maarufu wa Hollywood Marekani kuigiza filamu fupi ya kupiga vita silaha za nyuklia.

Michael Douglas
Baadhi ya waigizaji wakubwa wa sinema wa nchini marekani wameunganisha nguvu zao na kutengeneza filamu fupi inayotoa wito kwa dunia kutokomeza silaha za nyuklia
Muigizaji mkogwe Michael Douglas amesadia katika kutafuta waigizaji kama Roberto de Niro,Morgan Freeman  na Matt Damon na Matt Damon ili washiriki katika filamu hiyo ya dakika Mbili(2)

Morgan Freeman                                      Roberto de Niro
         Matt Damon
                                                


Mastaa hao ambapo pia yumo Alex Baldwin,Danny Devitto na Martin Sheers wame mtaka Rais wa marekani Mh.Barack Obama kuweka wazi mikakati ya kupunguza na kisha kutokomeza kabisa silaha hizo, Filamu hiyo imetolewa na kujikuta ikienda sambamba na mkutano wa G8 unaofanyika kaskazini mwa Ireland. 

BENDI YA COCODO AFRICAN MUSIC YA ACHIA NYIMBO MBILI KWA MPIGO


 Kutika kuhakikisha kuwa mwaka huu wana liteka soko la muziki bendi ya Cocodo african music ime achia nyimbo mbili kwa mpigo. Akizungumza na blog hii kiongozi wa bendi ya 

Cocodo African aitwae Emmanuel Mwakipesile amesema kwamba wame achia nyimbo itwayo Masawe Bahiri amayo ni audio na Video ya nyimbo iitwayo Sun shine ambayo pia imetumika kama sound track ya filmu iitwayo sunshine
Nyimbo zote hizo tayali zime anzwa kuchezwa na vituo mabli mbali vya radio na tv kama Clouds,EATV  
 
kusiliza nyimbo za Cocodo na kuona video zao Bonyeza hii link
http://cocodoafricanmusic.com/?page_id=79
http://cocodoafricanmusic.com/?page_id=79


BAADHI YA KATUNI ZA MASOUD KIPANYA AMBAZO NAZIZIMIA SANA...!

MAENDELEO
 DSM
 VIWANDA
 SISI