Wednesday, June 29, 2011

JIDE APIGA KORABO NA OLIVER MTUKUDZI.....!!!!

                                             OLIVER MTUKUDZI NA LADY JAYDEE

Baada ya AY kupata shavu la kupiga korabo na wakari kutoka marekani kama nilivyo wahi kuandika siku zilizo pita sasa nyota imenza kung'ra kwa nguri wa mziki wa bongo freva Lady Jaydee. Usiku wa jumatatu ama kwa hakika ulikuwa usiku wa historia kwa mwana dada huyu na usiku wa historia kwa muzki wa tanzania kwani Jide alikuwa Studio akirekodi wimbo na Nguli la Muziki kutoka Zimbabwe au kwa Mugabe.kwa taarifa nilizo nazo wimbo utaitwa MIMI NI MIMI na utakapo kuwa tayari ataachiwa redioni.

No comments:

Post a Comment