Wednesday, June 8, 2011
TUNATAKA BAJETI YA KUONDOA KERO KAMA HIZI!
Wananchi wa kijiji cha Lupanga wilaya ya Ludewa mkoani Iringa wakisafiri katika usafiri wa trekta kama inavyoonekana pichani. Wananchi hao amabao wengi wao ni wakulima wameiomba serikali kuwajali katika bajeti itakayotangazwa leo huko mjini Dododma.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment