Wednesday, June 8, 2011

TUNATAKA BAJETI YA KUONDOA KERO KAMA HIZI!


Wananchi wa kijiji cha Lupanga wilaya ya Ludewa mkoani Iringa wakisafiri katika usafiri wa trekta kama inavyoonekana pichani. Wananchi hao amabao wengi wao ni wakulima wameiomba serikali kuwajali katika bajeti itakayotangazwa leo huko mjini Dododma.

No comments:

Post a Comment