Tuesday, July 19, 2011

....LANGA AFUNGUKA....KUHUSU DRUGS...!

                                                                          LANGA
Hip-Hop Artist aliyetokea kwenye project ya Coca Cola Pop Stars,Langa Kileo amefunguka na kukiri kuwa alikua muathirika wa madawa ya kulevya na kwa sasa ameachana na hizo issue za kutumia drugs Langa mwenye diploma ya marketing,alianza kutumia drugs miaka 5 iliyopita na kumsababishia hata kupoteza kazi na kwa sasa ana miezi 4 tangu aache kutumia madawa ya kulevya....
....Akifunguka zaidi wakati anatumia drugs alifikia mpaka kuitenga familia yake na rafiki zake wa karibu na kwa sasa ametoa ngoma yake ya Boomboclat akizungumzia jinsi alivyoathirika na yuko tayari kuwa ambassador kama mfano kwa wale walioathirika ili waache....Big Up...sana kaka tunaamini utakuwa mfano mzuri wa kuigwa...!

No comments:

Post a Comment