Monday, September 26, 2011

....REST IN PEACE....MAMA WANGARI MAATHAI...!

MAMA WANGARI MUTA MAATHAI (1 APR 1940-25 SEPT 2011)
Mwanaharakati wa maswala ya mazingira na haki za wanawake kutoka nchini Kenya,Mama Wangari Muta Maathai amefariki dunia Jumapili ya tarehe 25 September,Nairobi Hospital baada ya kuugua ugonjwa wa Cancer aka Saratani

MAMA WANGARI MAATHAI AKIWA NA TUZO YA NOBEL ALIYOTUNUKIWA MWAKA 2004
Mama Wangari Maathai alizaliwa tarehe 1 April,1940 na amefariki akiwa na umri wa miaka 71 Mwaka wa 2004 alikuwa mshindi wa tuzo ya Amani ya Nobel na kuweka historia ya kuwa mwanamke Mwafrika wa kwanza kupokea tuzo hilo,Pia aliwahi kuwa mbunge wa Kenya na Waziri msaidizi katika serikali ya Mwaki Kibaki kati ya Januari 2003 hadi Novemba 2005

No comments:

Post a Comment