MAMA WANGARI MUTA
MAATHAI (1 APR 1940-25 SEPT 2011)
Mwanaharakati wa maswala ya mazingira
na haki za wanawake kutoka nchini Kenya,Mama
Wangari Muta Maathai amefariki dunia Jumapili ya tarehe 25 September,Nairobi Hospital baada ya kuugua ugonjwa wa
Cancer aka Saratani
MAMA WANGARI MAATHAI
AKIWA NA TUZO YA NOBEL ALIYOTUNUKIWA MWAKA 2004
Mama Wangari Maathai alizaliwa tarehe
1 April,1940 na amefariki akiwa na umri wa miaka 71 Mwaka wa 2004 alikuwa
mshindi wa tuzo ya Amani ya Nobel na kuweka historia ya kuwa mwanamke Mwafrika
wa kwanza kupokea tuzo hilo,Pia aliwahi kuwa mbunge wa Kenya na Waziri msaidizi
katika serikali ya Mwaki Kibaki kati ya Januari 2003 hadi Novemba 2005
No comments:
Post a Comment