Watu zaidi ya 13 wamejeruhiwa jijini Nairobi-Kenya na kukimbizwa
Kenyatta Hospital baada ya bomu la kutupwa na mkono aka grenade kurushwa kwenye
nightclub iitwayo Mwauras club leo asubuhi
Shuhuda wa
tukio hilo,alifunguka kuwa kuna jamaa alikuja pande za Mwauras bar saa 9 za
usiku na kuomba kuingia ndani na kurusha bomu hilo na kukimbia na polisi wa
Kenya hawajufunguka ni nani muhusika,lakini kundi la waasi wa Al-Shabab toka
somalia linahusishwa na tukio hilo hasa baada ya Majeshi ya Kenya kuamua
kuwasaka kundi la Al-Shabab baada ya kufanya tukio la utekaji nyara wa mtalii
toka Uingereza,mmoja toka Ufaransa ambaye baadaye alifariki na wafanyakazi 2 wa
misaada toka Hispania waliofika Kenya na wiki iliyopita Ubalozi wa Marekani
uliwatahadharisha wakenya kuwa makini na mashambulio kama hayo toka kwa kundi
la Al-Shabab
Jembe moja kutaka Al-shabab likiwa limeshika bendera yao
Jembe moja kutaka Al-shabab likiwa limeshika bendera yao
Hawa ni baadhi ya askali wa Al- Shabab wakiwa kazini.. Inchini Somalia
No comments:
Post a Comment