MOSES GOLOLA -
UGANDAN KICKBOXER
Bingwa wa kickboxing toka Uganda,Golola Moses yuko kwenye
mishemishezakufanya movie itakayokwenda kwa jina la Hot Temper
Movie hiyo itakua ni real
life story na itahusu maisha na mishemishe za michezo za Moses Golola,na
anatarajiwa mwenyewe kuwa starring na humo ndani ataelezea historia yake tangu
alipokua houseboy miaka ya 80 mpaka sasa akiwa na heshima kubwa Uganda na Afrika
Mashariki kupitia mchezo wa kickboxing na picha zake kutawala kwenye billboards
za jiji la Kampala na movie hiyo itakua chini ya director,Henry H. Ssali
No comments:
Post a Comment