Moja ya watumishi wa kampuni ya AAICO
ambayo ndiyo wamepewa dhamana ya kukusanya ushuru wa maegesho ya magari jijini
mbeya akitoa mnyororo kulifunga gari ya wachina hao huku mama wa kichina akilia
kwa hasira.
Mama wa kichina akimtolea maneno
makali binti Eliza mkusanya ushuru wa maegesho ya magari huku mchina huyo
akiendelea kugoma kuwa hawezi lipa ushuru siku ya jumamosi na jumapili kwani ni
siku za mapumziko siyo siku za kukusanya ushuru
Mume wa mama wa kichina akijaribu nae
kuwaelewesha wakusanyaji waushuru wa maegesho yamagari kuwa wameshazoea hivyo
kutolipa siku ya jumamosi na jumapili kwani ni siku za mapumziko.
Mama wa Kichina akiwa amechacha maa na
kuelekea katika Jengo la NMB Tawi la Mbalizi Road Mjini Mbeya kuomba msaada kwa
mapolisi.
hii inamaanisha kakwepa kodi ama hajui kamaa kuna hivyo vtu au wanamuonea,,,, no jibu hapo.. kama vp tukutane kitaleni,, the UNIVERSITY OF KITALENI.. Where answers kama hz zinapatkana. word up word up
ReplyDelete