Muugizaji wa filamu Jacob Steven a.k.a JB akipokea Tuzo yake ya muugizaji bora wa mwaka kutoka kwa Profesa Martin Mhando, CO wa tamasha la kimataifa la Filamu ZIFF, Tuzo ambayo alijinyakulia kutokana na filamu yake ya senior bachelor, ambapo filamu bora ya mwaka ilikuwa Ray of Hope iliyo tengenezwa na Pilipili entertainment chini ya muandaaji Sajni Srivastava zilizo tolewa na katika kilele cha tamasha hilo la ZIFF lililokuwa likifanyika Mji mkogwe mjini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment