LUPE FIASCO

Artist Lupe Fiasco ame-make headline baada ya kumpaka Prezidaa Barack Obama wa Marekani kwa kumwitwa Rais Obama ni "the biggest terrorist" aka Gaidi mkubwa

RAIS BARACK OBAMA
Lupe Fiasco alikua alikua anafanya interview na CBS News na kufunguka kuwa yeye sio sehemu ya siasa za kimarekani coz yeye ni Rapper anayewakilisha jamii na kwa kusema Obama alitangaza kuwa Osama Bin Laden ameuwawa Afghanistan...sasa nani ni Gaidi tu...
No comments:
Post a Comment