Wednesday, June 8, 2011

MGANDA AMUUZIA NGOMA....SIR ELTON JOHN...!


Msanii toka Uganda anayeishi Uingereza,Tazz Mujagata ni mmoja kati ya wasanii wanaokuja juu sana,coz amepata offer toka kwa Sir Elton John baada ya kuvutiwa na live perfomance zake pamoja na mashairi yake mazuri na kumfanya Sir Elton John moja ya track zake
Ngoma yake iitwayo Remember,imetesa sana barani Ulaya tangu itue kitaa na ya Mpapula ilifanikiwa kushinda tuzo ya ECO media kama Best song & Video award 2011
Kwa sasa anatarajia kutia maguu Kampala kwa ajili ya kuandaa album launch yake mwakani na inasemekana kuwa anapiga sana show na ana booking ya miezi 6 ijayo kupiga show Europe na wengi wanamtabiria kuwa ni Dr Jose Chameleon mpya na tracks zake zinapatikana kwenye Facebook, Youtube na Myspace na ngoma zake za Reggeaton,Ragga na RnB zitasambaa nchini Uganda hivi karibuni na ni mmoja wa artist aliyepata shavu la ku-perform kwenye Uganda Independence day cerebrations nchini Uingereza na Marekani

No comments:

Post a Comment