Tuesday, June 28, 2011

Mwana mziki Buju Banton ahukumiwa miaka kumi Jela....!

                                         MARK MYRIE AKA BUJU BANTON

Artsit wa Reggae na Dancehall toka Jamaica Mark Myrie aka Buju Banton,amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela kwa kufadhili na kujihusisha na madawa ya kulevya mwaka 2009
Buju Banton pia ni mshindi wa tuzo za Grammy amehukumiwa nchini Marekani, na alitiwa hatiani kwa ushahidi wa video baada ya kuonekana aki-test cocaine kama ni yenyewe pande za Florida

No comments:

Post a Comment