Wednesday, July 6, 2011

EMMANUEL ADEBAYOR....AONESHA JEURI YA HELA..!

                         FOOTBALLER EMMANUEL ADEBAYOR - TOGO/REAL MADRID

Mwanasoka toka Togo anayechezea timu ya Real Madrid,Emannuel Adebayor ameonesha jeuri ya fedha baada ya kuzirusha kwenye concert moja pande za Accra-Ghana
Concert ilibatizwa jina la “Ghana meets Naija” na ilikua ni mashindano ya kuimba kwa artist toka Ghana na Nigeria huku watengenezaji wa gari kali za Jaguar walikua wadhamini na walitoa magari yao kwa artist wote walioshiriki concert hiyo
Nigeria iliwakilishwa na artist Cool Temper Man,J-Martins,9Ice,Wande Coal,Naeto C na 2Face Idibia,na Ghana iliwakilishwa na artist Castro,Baby Jet Asamoah Gyan,Boogie Down Nima Generals, Swagger Boyz,Ruff N Smooth,R2Bees,D-Cryme, Guru na Power Guys,4x4

No comments:

Post a Comment