Wednesday, July 13, 2011

ROSTAM AZIZ...AJIUZULU UBUNGE NA UJUMBE WA NEC.!

Mbunge wa Jimbo la Igunga (CCM) mkoani Tabora,Mhe Rostam AbdulRasul Aziz amejiuzulu Ubunge wa Jimbo la Igunga Inafunguliwa kuwa Rostam pia kujiuzulu Ujumbe wa NEC kwenye Chama Cha Mapinduzi aka CCM na alitoa tamko kwenye mkutano mbele ya Waandishi wa habari...

No comments:

Post a Comment