Hebu cheki jinsi wa Tanzania walivyokua wabunifu....hapa watu walikua wanatongozana na inaelekea hii issue ilitokea pande za Bar....Tweeeendeee...!
Njemba....Oyaa halafu baadaye unitafute...au siyo...akajibiwa na Totoz....Nikutafute saa ngapi?
Njemba....saa 4 usiku....Totoz....Wapi...?
....Njemba ikajibu...kitandani ndotoni...au sio mama...
....Na hii ni fedha halali ya Tanzania,tena kwa malipo ya shilingi elfu kumi...
No comments:
Post a Comment