Thursday, July 14, 2011

..WABONGO BWANA....MULIKA MWIIIIZIII...!

Hebu cheki jinsi wa Tanzania walivyokua wabunifu....hapa watu walikua wanatongozana na inaelekea hii issue ilitokea pande za Bar....Tweeeendeee...!

Njemba....Oyaa halafu baadaye unitafute...au siyo...akajibiwa na Totoz....Nikutafute saa ngapi?

Njemba....saa 4 usiku....Totoz....Wapi...?

....Njemba ikajibu...kitandani ndotoni...au sio mama...
....Na hii ni fedha halali ya Tanzania,tena kwa malipo ya shilingi elfu kumi...

No comments:

Post a Comment