Thursday, August 25, 2011

Wenger asifu moyo wa vijana


Meneja wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger amewasifu vijana wake kwa kumuondolea mashaka na wasiwasi uliotanda na kuikumba klabu hiyo katika majuma ya hivi karibuni kwa kuiondoa klabu ya Utaliano Udinese na hivyo kujipatia tiketi ya kushiriki michuano ya hatua za Ligi ya mabingwa.

No comments:

Post a Comment